Powered By Blogger

Thursday, June 15, 2017

FAIDA ZA KUNYWA MAJI ASUBUHI(KABLA YA KIFUNGUA KINYWA)

KUNYWA MAJI KABLA YA KIFUNGUA KINYWA ASUBUHI -YANATIBU MARADHI MENGI.

Kiafya binadamu utunatakiwa kunywa glasi 7-8 kwa siku ni muhimu kwa afya zetu.Watu wengi hawajui kama kunywa maji asubuhi pale uamkapo ni kinga moja kubwa mwilini.image.Tiba hii huu inaitwa Ayurvedic treatment inafaida nyingi ya kukuepusha na maradhi.

sehemu kubwa ya mwili wa mwanadamu ni  maji  kwa asilimia 70% ambayo ndio inasaidia mwili Wake ufanye kazi kiufasaha,wakati cell ya ubongo wa binadamu una maji kwa asilimia 85%,damu inakiasi cha maji kwa asilimia 82%,muscles inatumia maji asilimia 75% wakati mifupa inamaji asilimia 25%.Mpaka hapo inaonyesha maji ni muhimu sana kwa mwili wa binadamu .

Umuhimu wa kunywa maji asubuhi kabla ujaingiza chochote tumboni.

Unatakiwa kunywa maji pale uamkapo ukiwa ujakula chochote,itakusaidia kusafisha mfumo wako wa mmeng’enyo (internal system) kwa urahisi. Itatoa uchafu  na sumu kwenye Colon ulizozila kupitia  vyakula tofauti tofauti .Faida nyinginezo ni

Kungarisha ngozi.

Renew cells.

Kusafishwa kwa colon na kufanya unyonywaji wa virutubisho kuwa rahisi.

Inatibu magongwa na maradhi .Unywaji wa maji asubuhi pale uamkapo inakusaidia kutibu maradhi kama matatizo ya ini,TB,kuhara,cancer,matatizo ya macho,maumivu ya kichwa,stress,uti wa mgongo.

Hupunguza uzito.

Kunywa maji pale uamkapo liters 1.5 ( glas 5-6),epuka kunywa kinywaji kingine chochote au kula kabla na baaya ya kunywa maji ,usinywe pombe baada ya siku 2 ndio uendelee na kunywa maji yako kila asubuhi .Mwanzo itakuwa ngumu sana kunywa glas 6 kwa pamoja unachotakiwa kunywa 4 pumzika kidogo kunywa izo 2 zilizobakia.Utafanya hivyo baada ya siku 3 utumbo utaozoea na utakunywa kwa urahisi.

Hii water therapy ilizinduliwa na wajapan baada ya kuifanyia utafiti wa mda mrefu na kubaini inatibu maradhi  mengi iwapo mgonjwa atafatisha sheria zake kama

Uamkapo kunywa maji moja kwa moja bila kupiga mswaki au kula chochote.

Piga mswaki na usile chochote sababu yale maji yanahitaji kutoa uchafu kabla ujaweka chakula au  kinywa tumboni.

Bada ya dakika 45 unaweza kunywa breakfast.

Baada ya breakfast usile kitu chochote baada ya masaa 2.

       Kipimo cha maji kulingana na maradhi.

Constipation-wenye matatizo ya kuapa haya kubwa watafata hii kinga ya maji  kwa siku 10

TB-siku 90

Kisukari siku 30

Gastric -kuwa na gesi nyingi tumboni -siku 10

Pressure (high blood pressure) siku 30.

Unatakiwa kunywa maji kwa wingi haswa wale wanaoishi sehemu za joto .Epuka kuwa dehydrated kwani utakaribisha maradhi kwa urahisi...Endelea kuwa nami kwa makala nyingi za afya

1 comment:

FEATURED POSTS

AFYA TIPS